
Pep Guardiola amekaribisha mchezaji mwenzake wa zamani wa Barcelona Luis Enrique kwenye uwanja wa Etuhad jijin Manchester katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Manchester City walikuwa wenyeji wakiwakaribisha vijana wa Catalunya Barcelona kwenye mchezo wa kundi C na kufanikiwa kuwalaza kwa magoli 3-1 jana usiku.
Man city waliingia wakiwa na kumbukumbu ya kichapo cha magoli 4-0 walichapata Nou camp, Barc walionekana kuanza vizuri...