Mkali wa wimbo ‘Salome’ Diamond Platnumz chibu amesema ameagiza mixer kubwa nje ya nchi ili kuboresha studio ya ‘Wasafi Records’ ambayo tayari imeshaanza kushafanya hits kadhaa ambazo zinafanya vizuri katika chati mbalimbali za muziki nchini na nje ya nchi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira, January Makamba alitembelea ofisi za msanii huyo Chibu alitumia nafasi hiyo kumweleza mheshiwa makamba mipango mbalimbali ambayo ataifa ili kuboresha ofisi hiyo.
Kwa sasa tunasubiri mixer ifike kwa sababu tuliambiwa hatuwezi kuichukua dukani mpaka tutoe order wakutengenezee,” Diamond alimwambia Waziri Makamba. “Zingekuwa ni zile ndogo ndogo wangenipa lakini kwa sababu hii ni kubwa sana lazima utoe order, na tayari nimeshalipia kama dola 20,000 na kitu,”
 |
Diamond Platnumz |
0 comments:
Post a Comment