mabingwa wa euro timu ya taifa ya ureno hii leo tena imefanikiwa kupata ushindo mnono wa magoli 6-0 dhidi ya Faroe Island ushind huu umekuj siku chache baada ya wikiendi kushind idadi hiyo ya magoli huku cristiano ronaldo akipiga goli nne.
leo ilikuwa zamu ya kinda mwenye umri wa miaka 20 Andre Silva aliefunga hat-trick katika dk za 12" 22"37" Ronaldo 65 J. Moutinho 90" J.Cancelo
0 comments:
Post a Comment