Search This Blog

SportsRaw

SportsRaw

Friday 28 October 2016

Kompany yupo Fiti, Clichy

Beki wa Manchester City Gael Clichy amesema nahodha wake Vicenty Kompany yuko fiti kabisa licha ya kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu na kwenye  mechi ya juzi la ligi  dhidi ya Manchester United ambayo walifungwa 1-0 goli pekee la United likifungwa na Juan Mata,

Vincent Kompany was substituted at half-time against Manchester United
Nahodha wa Manchester CityVicent Kompany (kushoto) akijaribu kupiga mpira mbele ya Mshambuliaji waManchester United Zlatan Ibrahimovic kwenye mechi ya kombe la Ligi ,City walifungwa 1-0 katika uwanja wa Old Trafford.

 alianza kwenye kikosi cha kwanza lakini kipindi cha pili hakuweza kurudi kucheza nakuacha maswali mengi  Clichy amesema Kompany hajacheza kwa muda mrefu na anadhani kwa dakika alizocheza ni sahihi kwani ndo kwanza amerejea dimbani,

Baada ya kichapo hicho City kimewatoa nje ya michuano hiyo nakuwafanya kushindwa kupata ushindi mechi ya sita mfululizo ikiwa ni mara ya kwanza Pep Guardiola kupatanmatokeo mabovu katika maisha yake ya soka.

Gael Clichy says Manchester City have no injury concerns over Kompany

0 comments:

Post a Comment