Search This Blog

SportsRaw

SportsRaw

Tuesday 10 October 2017

Washambuliaji Jangwani hali tete







Wakati mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara Yanga wakihaha kujianda na mcheo wa ligi  dhidi ya Kagera Sugar inayosusua majeruhi wameendea kuipa homa benchi la ufundi kutokana na kuongezeka kwa maheruhi hasakwenye safu ya ushambuliaji inayoonekana kuwa butu msimu huu

Crouch atinga Guiness world Record







Mshambuliaji wa klabu ya Stoke ya England Peter Crouch ameingizwa kwenye kitabu cha rekodi za dunia cha Guinness World Records cha mwaka 2018 kwa kufunga mabao mengi zaidi kwa kichwa Ligi ya kuu ya soka ya England .

Magoli bora kufuzu kombe la dunia ulaya