Tuesday 10 October 2017
Crouch atinga Guiness world Record
Tuesday, October 10, 2017
No comments
Mshambuliaji wa klabu ya Stoke ya England Peter Crouch ameingizwa kwenye kitabu cha rekodi za dunia cha Guinness World Records cha mwaka 2018 kwa kufunga mabao mengi zaidi kwa kichwa Ligi ya kuu ya soka ya England .