Search This Blog

SportsRaw

SportsRaw

Tuesday 10 October 2017

Washambuliaji Jangwani hali tete







Wakati mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara Yanga wakihaha kujianda na mcheo wa ligi  dhidi ya Kagera Sugar inayosusua majeruhi wameendea kuipa homa benchi la ufundi kutokana na kuongezeka kwa maheruhi hasakwenye safu ya ushambuliaji inayoonekana kuwa butu msimu huu

Crouch atinga Guiness world Record







Mshambuliaji wa klabu ya Stoke ya England Peter Crouch ameingizwa kwenye kitabu cha rekodi za dunia cha Guinness World Records cha mwaka 2018 kwa kufunga mabao mengi zaidi kwa kichwa Ligi ya kuu ya soka ya England .

Magoli bora kufuzu kombe la dunia ulaya









Wednesday 2 November 2016

Juma Abdul majanga

Hii si taarifa nzuri kwa kuwa, beki wa Yanga, Juma Abdul anaweza asionekane kwenye michezo ya Ligi Kuu Bara mpaka Januari, mwakani kutokana na majeraha ya nyonga yanayomsumbua kwa sasa.

Man city, Arsenal zaua

Pep Guardiola amekaribisha mchezaji mwenzake wa zamani wa Barcelona Luis Enrique  kwenye uwanja wa Etuhad jijin Manchester katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Manchester City walikuwa wenyeji wakiwakaribisha vijana wa Catalunya Barcelona kwenye mchezo wa kundi C  na kufanikiwa kuwalaza kwa magoli 3-1 jana usiku.

De Bruyne (No 17) gives Manchester City the lead in the 51st minute, striking home an incredible free-kick

Man city waliingia wakiwa na kumbukumbu ya kichapo cha magoli 4-0 walichapata Nou camp, Barc walionekana kuanza vizuri na kufunga goili la kuongoza mpira uliowekwa kimiani na Leonel Messi akipata asisti ya Neymar.

city walirud vizuri na kuzawaisha goli hilo kupitia kwa kiungo mjerumani Ilkey Gundogan baada ya kpigiana one two na Rahim Sterling, kipindi cha pili city walifanikiwa kupata goli tena baada ya Kevin De Bruyne kufunga mpira wa adhabu ndogo na uliojaa wavuni.

Messi (No 10) strokes the ball with his left foot past City goalkeeper Willy Caballero  to give away side Barca the lead

Friday 28 October 2016

Kompany yupo Fiti, Clichy

Beki wa Manchester City Gael Clichy amesema nahodha wake Vicenty Kompany yuko fiti kabisa licha ya kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu na kwenye  mechi ya juzi la ligi  dhidi ya Manchester United ambayo walifungwa 1-0 goli pekee la United likifungwa na Juan Mata,

Vincent Kompany was substituted at half-time against Manchester United

Kiba: hatujashindwa,waliopata tuzo wanastahili

Staa wa Bongo fleva nchini Ali Kiba amfunguka na kuzungumzia ushiriki wa wasanii kutoka Tanzania kwenye tuzo za MTV Mama Awards 
Mkali huyo wa ngoma ya Aje  ambaye alikuwa miongoni kati ya wasanii waliotumbuiza kwenye tuzo hizo na pia aliwania tuzo ya ‘Best Collaboration’ ya wimbo wa Unconditionally Bae alioshirikiana na Sauti Sol, amesema watanzania walijitahidi lakini walizidiwa na wasanii wa nje ndiyo maana wakashindwa kutamba.