Search This Blog

SportsRaw

SportsRaw

Sunday, 16 October 2016

Mmh Nick Minaj sasa..!!

Nick minaj amekuwa kivutio kikubwa hasa kwa midume iliohudhuria shoo hiyo, kutokana na kivazi alichokuwa amekitupia kilichoacha sehemu zake nyeti  zikionekana, hiyo ilikuwa kwenye shoo ya Tidal X jana usiku jijini New York.

Old friends: This year's show is a continuation of last year's Tidal X: 1020 concert, where Bey and Nicki performed on stage together
Minaj ambaye kwa sasa anatoka na Rapa abaye yupo kwenye listi ya wasanii  wa lebo ya Maybach Music Group  MMG chini Rick Ross Meek Mill aliva nguo nyeusi ilionyesha nguo yake ya ndani na kifuani akawa ameziba kidogo tu na kuacha sehemu ya kifua kuwa wazi



kwenye shoo pia minaj  wakati anaimba alibadili vazi ambalo  kwa kiasi kidog kiwalo hicho kilisitiris ehemu zake nyeti,Pia  alipafom na wasanii wengine wakubwa kama Beyonce Alicia Keys Robin Thicke Common na wengine

                                Substitution: the Super Bass star had a back-up outfit, that looked a deal warmer too

                                   Not Tidal O, luckily: Just a thong and two tiny Xs hid her modesty, barely



0 comments:

Post a Comment