Search This Blog

SportsRaw

SportsRaw

Tuesday, 11 October 2016

Bentenke aweka rekodi apiga goli la mapema zaidi

Straika wa Timu ya Taifa ya Ubelgiji Crystal Palace Christian Benteke ameweka rekodi ya aina yake katika michuano hii ya kufuzu kombe la dunia baada ya kufunga goli la mapema zaidi kwenye ushindi wa 6-0 dhidi ya timu ya taifa ya Gibrltar alifunga goli hilo sekunde ya 8 katika mechi hiyo Benteke alipiga hat-trick
Belgium striker Christian Benteke scored the fastest ever goal in World Cup history



Ubelgiji inaoongoza msimamo wa kundi H kwa kuwa na pointi 9 baada ya mechi tatu, magoli mengine yalipachikwa na Witsle 19",Mertnes 51" na Eden Hazard 59Axel Witsel scored from 25 metres after 19 minutes to double his side's advantage

Chelsea's Eden Hazard was also got on the scoresheet for Roberto Martinez's side

0 comments:

Post a Comment