Search This Blog

SportsRaw

SportsRaw

Monday, 10 October 2016

Rooney kusugua benchi England

Nahodha ya timu ya tifa ya England  Wayne Rooney hataanza katika kikosi cha kwanza kitakacho anza dhidi ya Slovenia katika mechi za kufuzu kombe la dunia 2018 nchini Urusi.

Rooney, Jordan Pickford and Marcus Rashford walk at Luton airport on Monday afternoon












Rooney ameanza vibaya msimu huu katika kablu ya Manchester united kwa kucheza chini ya
kiwango na kocha jose mourinho kuamua kufanya maamuz magumu ya kumpiga benchi nahodha wake huyo

Katika medhi iliochezwa jumapili wazza alizomewakutokan na kuonyesha kiwango kibovu katika  ushidi wa 2-0 dhidi ya Malta.Rooney and his England team-mates complete a drill at Tottenham's Enfield training centre

Kocha wa muda wa England  Gareth Southgate ameamua kulinda heshima ya rooney kwa kumpiga benchi kuliko kupata aibu ya kuzomewa na mashabiki 

0 comments:

Post a Comment