Search This Blog

SportsRaw

SportsRaw

Friday 14 October 2016

Messi atimiza Miaka 12 Camp Nou

Mchezaji bora mara tano wa dunia Leonel Messi kesho atatimiza miaka 12 tangu aanze kuichezea timu ya Fc Barcelona akiwa ametwa makombe 29 akiwa na Barca tangu mwaka 2004 alianza kucheza kwenye kikosi cha wakubwa chini ya kocha Frank Rijkaard.

Messi scored an excellent header against Manchester United in 2009 
Mchezaji wa Fc Barcelona Messi akifunga goli la kichwa na la kiihistoria dhidi ya Manchester United kwenye fainali ya Ligi ya Mabigwa Ulaya Barca walishinda 2-0.




Ilikuwa Octoba mwaka 2004 kocha alipomnyanyua kijana alivalia jezi namba 30 mgogoni alikuwa Messi akichukua nafasi ya Deco katika game hiyo dhidi ya Espanyol.

mwezi mei mwaka 2005 messi hawezi kusahau ndio siku alliofungua akaunti yake ya magoli baada ya kupachika goli safi akimalizia basi ya fundi kutoka Brazil Ronaldinho Gaucho ilikuwa mechi dhidi ya Albacete.

Messi helped Barcelona win the Spanish Super Cup this season against Sevilla


baada ya hapo messi ameendelea kutesa timu pinzani na kuwa mchezaji muhimu ndani  barcelona ameshinda La Liga mara 8, Copa del Rey 4, Spanish Super Cup 7, Champions League 4, Super Cup 3, Club World Cup 3

One of Messi's finest games was the Champions League quarter final against Arsenal in 2010
Lionel Messi akiwatoka wachezaji wa Arsenal katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya mechi iliochezwa kwenye uwanja wa Camp Nou Messi alifunga hat-trick katika mechi hiyo.



0 comments:

Post a Comment