Search This Blog

SportsRaw

SportsRaw

Saturday, 15 October 2016

Usajili Simba wampa jeuri Mgosi

Meneja wa Simba ambaye pia ni straika wa zamani wa timu hiyo, Mussa Mgosi, amesema wana kila ya sababu ya kuuchukua ubingwa wa ligi kuu msimu huu, kwani wamesajili wachezaji wanaoweza kupambana.

Image result for mavugo kichuya
Kauli hiyo ya Mgosi imekuja baada ya Simba kucheza mechi nane hadi sasa na kufikisha pointi 20 huku ikiwa haijapoteza hata mchezo mmoja, kwani ina sare mbili na imeshinda mara sita.


Ukiachana na Kichuya na Mwanjale, msimu huu Simba pia imewasajili Muzamiru Yassin, Laudit Mavugo, Jamal Mnyate, Mousa Ndusha, Besala  Bokungu, Mohamed Ibrahim, Malika Ndeule, Fredric Blagnon na Hamad Juma ambao wameonekana kuibeba simba msimu huu


Kutokana na hali hii, tuna matumaini makubwa ya kuuchukua ubingwa msimu huu.”

Mgosi alisema, wigo huo mpana wa kikosi umesababisha kutokuwepo kwa mchezaji tegemeo katika timu, hivyo  mtu akiumia basi kunakuwepo na mbadala wake mwenye uwezo kama aliyetoka.



0 comments:

Post a Comment