Search This Blog

SportsRaw

SportsRaw

Saturday, 15 October 2016

Man City wabanwa mbavu na Everton

Wakiwa nyumbani leo Etihad stadium Manchester City wameshindwa kutamba mbele ya Everton baada ya kulamishwa sare ya 1-1 lakin vijana Pep Guardiola watajilaumu wenyew kwani walifanikiwa kupata mikwaju ya penalti miwili na kuishia kukosa yote.

Lukaku broke the deadlock against the run of play with a fantastic finish across the body of Claudio Bravo


Wakiingia na kumbukumbu ya kichapo kutoka kwa Tottenham Hotspurs 2-0 City leo walihitaji kupata matokeo ili waendelee kukaa kileleni mwa Epl.

Mlinzi wa kati wa Everton Phil Jagielka alimwangusha David Silva na Kevin De Bruyne akapewa jukumu la kupiga akakosa

Romeo Lukaku akapiga bao safi kipndi cha pili bao hilo likawaamsha city usingizini na kuanza kuliandama lango la vijana wa Koeman, wakafanikiwa kupata penalti nyingine safari mpigaji akawa Sergio Aguero ambae mkwaju wake ulipanguliwa na kipa Stekelenberg.

The Spanish winger celebrates with Raheem Sterling as the pair run back to the halfway line with the Etihad rocking 


aliewakoa Man city ni  mshambuliaji wa kimataifa wa Uhispania Nolito aliefanya  mchezo kuisha kwa 1-1

kwa matokeo hayo City wapo kileleni na  wanafikisha pointi 19 sawa na Arsenal wakiwa wanatofautiana magoli ya kufungwa na kufunga

The Argentinian threw his hands up in the air in disbelief as Stekelenburg guessed right and made another fine save



0 comments:

Post a Comment