Search This Blog

SportsRaw

SportsRaw

Wednesday 12 October 2016

Ujerumani waendeleza ubabe

Timu ya Taifa ya Ujerumani Imefanikiwa kushinda mechi yake dhidi ya jamhuri ya Ireland ya kaskazini kwa kuichapa goli 2-0 mechi hiyo ilikuwa ya kufuzu kwa fainali za kombe la dunia 2018 nchini Urusi.

Julian Draxler lashed in a 13th-minute opener when the ball ricocheted off Gareth McAuley
Draxler akiifungia Ujerumani bao lakwanza dhidi ya Ireland ya Kaskazini 


Magoli ya Ujerumani yaliwekwa kambani na Julian Draxler kunako dakika ya 13' na goli la kufungwa na kiungo mkabaji wa Jevuntus Sami Khedira dakika ya 17, huu ni ushindi wa tatu mfululizo kwa Ujerumani wakiwa hawajaruhusu  wavu wao kuguswa.
Draxler celebrates scoring the first goal against Northern Ireland on Tuesday night
Draxler akishangilia goli
pia kocha joachim Law  ameweka rekodi ya kushinda ikiwa n mechi ya 94 kushinda..Ujerumani ni bigwa mtetezo wa michuano hiyo baada ya kutwaa u championi huo mwaka 2014 dhidi ya Argentina nchini Brazil

0 comments:

Post a Comment