Search This Blog

SportsRaw

SportsRaw

Wednesday, 12 October 2016

England washindwa kutamba

Timu ya Taifa ya England imeshindwa kutamba mbele ya Solvenia baada ya kulazishwa sare ya bila kufungana kwenye mchezo wa kwania kufuzu fainali za kombe la dunia nchini Urusi 2018

Hart came to England's rescue throughout the match, with a spectacular double save the most memorable of the bunch
Kipa England Joe Hart akiokoa moja michomo ya hatari langoni kwakwe kwenye mechi dhidi Slovenia mechi hiyo iliisha kwa sare ya bila kufungana

wakiwa bila ya nahodha wao Wayne Rooney England wali ha ha kuwazui wa slovenia wasipate goli na kama sio uimara wa mlinda mlango Joe Hart stori ingekuwa nyingine


katika mchezo hou Rooney aliingia kipindi cha pili  dakika ya 73 lakini bado alishinda kufanya kile ambacho watu wengi wametarijiaSturridge rounds Slovenia goalkeeper Jan Oblak during the World Cup 2018 qualifier, but he was unable to find the net


Enland inaendlea kubaki kileleni mwa kundiF kwa kuweka kibindoni pointi 7 wakifuatiwa na Lithuania wenye Pointi 5
Kyle Walker (right) jumps into a challenge in a feisty first half, but neither England nor Slovenia could find the back of the net

0 comments:

Post a Comment