Search This Blog

SportsRaw

SportsRaw

Tuesday, 18 October 2016

Messi kujiunga na Man city?

Supa staa wa Fc Barcelona Lionel Messi amekaribishwa kujiunga  na Manchester City endapo atataka kuihama timu hiyo yenye maskani yake Camp Nou,hayo ni maneno ya kocha wake wa zamani Pep Guardiola ambaye kwa sasa ni kocha wa Man City.
\
Barcelona superstar Lionel Messi has been offered a move to Manchester City if he ever leaves



Najua anataka kumaliza maisha yake ya soka ndani ya Barca lakini ikitokea atapenda kuondoka nadhani atapenda watoto wake kujifunza kiingereza namkaribisha city, sio rahisi kuondoka lakini wakati mwingine huwa alisema Guardiola.

Messi kesho atavaana na kocha wake zamani kwenye mechi ya ligi ya mabingwa mechi itachezwa kwnye dimba la Nou camp.
 
Guardiola was speaking on Tuesday ahead of City's Champions League clash at Barcelona

0 comments:

Post a Comment