Search This Blog

SportsRaw

SportsRaw

Friday 14 October 2016

Bosi wa Everton ampiga kijembe Guardiola

Kocha wa Everton Ronald Koeman amemwagia sifa kibao bosi wa timu ya Manchester  City Pep Guardiola lakini akamtupitia kijembe kwa kumwambia kuwa anataka kutwaa ubingwa ligi kwa njia ngumu akiimanisha soka la pasi nyingi, mfumo ambao Guardiola n muumini wa falsafa hiyo.

Kocha wa Everton  Ronald Koeman( kushoto) akitoa maelekezo kwa mshambuliaji Romelo Lukaku
 

Everton watakuwa  ugenini kucheza na City ambao katika dimba la Etihad   mechi yao mwisho kabla ya mapumziko kwa ajili kupsha mech za kimataifa, waloja kipigo kwa mara ya kwanza baada ya kufungwa 2-0 na Tottenham Hotspurs.

Pep na Koeman ni marafiki na pia walicheza pamoja kwenye kikosi cha Barcelona miaka tisini lakini kesho wataweka urafiki wao mbembeni wakiwa wanasaka pointi tatu muhimu  City anaongoza ligi akiwa na pointi 18 na Everton yupo nafasi ya 5 na pointi 14.

The Dutchman is impressed by Guardiola's attempt to win the Premier League the hard way
Pep na Koeman walivyokuwa Barcelona

0 comments:

Post a Comment