Search This Blog

SportsRaw

SportsRaw

Friday, 14 October 2016

Ronaldo apata tuzo mchezaji bora ulaya

Supa staa wa Real Madrid Cristiano Ronaldo ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa ligi ya mabingwa Ulaya ambayo huandaliwa na kupigiwa kura na magezeti makubwa ya Michezo Marca la nchini Uhispania na Gazzetta Dello Sport.

The Portuguese has praised Real Madrid coach Zinedine Zidane for being a good listener
Ronaldo ambae ni raia wa Ureno alifunga magoli 16 katika ligi ya Mabingwa na 51 katika michuano yote na kuisadia Madrid kutwaa kombe la hilo kwa mara ya 11 na pia kutoa mchango mkubwa katika timu ya taifa baada ya kushinda ubingwa wa kiihistoria  Euro wakiishinda dhidi ya Mwenyeji Ufaransa na kuwa na nafasi kubwa ya kushinda mchezaji bora wa dunia Ballon d"Or.

Ronaldo, pictured scoring against Andorra in a World Cup qualifier, is also favourite to win the Ballon d'Or after leading Portugal to this year's European Championship


Akifanya mahojiano na gazeti la Marca Ronaldo 31' amemwagia sifa kibao kocha wa miamba hiyo ya Santiago Bernabeu nimeshinda ligi ya mabigwa na Euro ni mwaka wa kihistoria kwangu kamwe siwezi kuusahau alisema Ronaldo.
Cr7 anaoopngoza katika listi ya wafumania nyavu katika ligi ya mabigwa akiwa na magoli 94 akiwa na Manchester United na Real Madrid nafasi ya pili yupo staa wa timu ya Barcelona Leonel Messi mwenye magoli 83.

Ronaldo celebrates after scoring his penalty in the Champions League final shootout against rivals Atletico Madrid at the San Siro earlier this year


Ronaldo pia amewashukuru wachezaji wenzake wa madrid na Ureno kwa kusema mafanikio alioyapata bila wao asingeyapata.

0 comments:

Post a Comment