Search This Blog

SportsRaw

SportsRaw

Saturday, 15 October 2016

Simba wamnyoosha Kager 2-0

Simba imeendelea kuzitesa timu za ligi kuu baada ya leo kushinda 2-0 dhidi ya Kagera sugar na kufikishi pointi 23 mnyama anaendelea kubaki kileleni mwa Vpl, magoli ya Simba yaliwekwa kimiani na  Mzamiru Yasini akiunganisha mpira wa kona iliopigwa na Shiza Kichuya, kipindi cha pili Kichuya akaindikia wekundu wa msimbazi goli la pili kwa mpira wa penalti.

Image result for simba v kagera sugar 2-0 2016

Matokeo mengine

JKT Ruvu 1-1 MwaduiStand United 1-1 African Lyon



0 comments:

Post a Comment